Tuesday, May 29, 2012

JIONEE Matukio ya OCEAN ROAD KATIKA PICHA YA VIJANA WAKATOLIKI TANZANIA GROUP

Wapendwa safari ya ocean road Matukio ktk picha Tarehe 27-5-2012 saa nane mchana,idadi ya wagonjwa walikuwa zaidi ya 250,MAHITAJI:Maji ya kunywa,juice,matunda,biscut,miswaki,dawa za meno,kandambili,mafuta ya kupaka,maziwa ya pact,Sabuni za kuogea,sabuni za kufulia yalitolewa na Vijana Wakatoliki Tanzania.
 
Robert Sangawe akimvalisha mmoja wa wagonjwa kandambili
           Sista Paskazia akimkabidhi mmoja wa wagonjwa kitambaa kilichobarikiwa na kuombewa
  Jane Rwekubya KWA JUU akikabidhi fedha mahali tuliponunua mahitaji ya ocean road
                                   Pd Joseph Mosha akiongea na mmoja wa wagonjwa

No comments:

Post a Comment