Saturday, October 22, 2011

Kongamano la kijimbo Arusha mwaka 2012 SIKU 5


Leo 22/10/2011 kulikuwa na kikao cha Viongozi wa Viwawa Parokiani St.theresia Wajumbe walipendekeza siku ya kongamano la kijimbo na kufikia maamuzi kuwa kifanyike mwezi wa sita mwakani na kila mshiriki kuchangia kiasi cha sh 35,000 Tsh na kongamano litakuwepo mwezi wa sita kati 15.06.2012 up 24.06.2012 mwaka kesho,Na slogani ya kongamano kutoka katika muhubiri 12;1 au zaburi 199:9 Katika pesa hiyo ya 35,000 kila mshiliki hatapatiwa TISHETI YA KONGAMANO,Kongamano litakuwa la siku TANO kuanzia jumatano,LITAKUWA KONGAMANO Bora sana.

No comments:

Post a Comment